SISTER DUU ANASWA NA MADAWA YA KULEVYA MCHANA WA LEO AKIELEKEA ETHIOPIA

Mama mmoja  wa  kinigeria   amekamatwa na madawa ya  kulevya  mchana  huu  katika uwanja wa ndege wa JNIA  akijaribu  "kum-bypass "  Dr.Mwakyembe. 

Mwana  mama  huyo aliyetambuliwa  kwa  jina  la  Ojo Athnonie  alikuwa  amevaa   bai bui kwa juu na kufunika sura yake  yote.....

Taarifa  zinaarifu  kwamba  mama huyo alikuwa akienda na Ethiopian Airways na hivi sasa yuko  chini ya  ulinzi  mkali wa polisi .....

Kwa mujibu wa StarTV, mwanamke  huyo anadaiwa  kutumia  ubunifu  wa  ziada kwa  kanunua  powder za johnson kubwa na  kuzikata  kwa juu na  kisha  kuweka  kete  99  ambazo  zote  zimenaswa.

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. kamata mwizi men.

    ReplyDelete
  2. MBONA HAMJAMWONYESHA PICHA ZAKE? MWAKYEMBE ULISEMA KILA ATAKAYEKAMATWA MTAMPIGA PICHA NA KUSAMBAZA PICHA PICHA ZAKE NA ULIANZA NA YULE RASTA. JE HUYU MBONA HAMFANYI HVY? AU NDO MZIGO WAMKUBWA? TUNAWASUBURI AVUE HIJABU APIGWE PICHA MAANA YULE HATA KWENYE UISLAM HAYUPO KULINGANA NA TENDO ALILOLIFANYA.HVY HAKUNA KISINGIZIO CHA KUTOMPIGA PICHA.

    ReplyDelete
  3. Wewe picha kapigwa za kutosha na zimerushwa mtandaoni

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad