JACKIE CLIFF ARUDI URAIANI??? HIKI NDIO ALICHOPOST INSTAGRAM MUDA MCHACHE ULIOPITA!
21
January 15, 2014
Sijui ni ka mchezo gani ila ndio hivyo Jack Cliff anaye semekana alikamatwa na madawa ya kulevya chini amepost picha hiyo kwenye instragram yake.....Hata masogange ilikuwa hivi hivi alianza kupost post picha zake mara tukasikia kaachiwa.....
Tags
Sawa tu...hamna neno..biashara hii si ya walalahoi kama sie...niya viongozi wakubwa....
ReplyDeleteUmetapeli watu kule FIKRA HURU wanalalamika kawape chao
ReplyDeleteKuma we kafie mbele, na fikra huru
DeleteWeee kunguru mweusi acha kutumia hilo neno K.. sawa kwani hata mama yako anayo pumbavuuuu..
Deletenaona wewe haujatukana?
DeleteDah! SasaRAY C
ReplyDeleteAnakazi kama itakua
ni kweli maana
alimuombea anyongwe!
Duh! U khanisi m2puu
Unashangaa nn wakati watoto wa wenye nchi ndo chain yao hiyo, wewe kalaga bao!!
ReplyDeleteHii nchi inaenda pabaya madawa ya kulevya malfuku bt mtu akikamatwa nayo anaachiwa basi wayaruhsu iwe biashra ya wote
ReplyDeleteDuh hii kweli baraha basi waruhusu wote tfanye hyo biashara au vipi
ReplyDeleteMakubwa!watoto wa mskini tunashida jamani!!
ReplyDeleteAkiachiwa kuwa punda kila m2 ruksa
ReplyDeleteKumamazao hii midawa itaenea kila chochoro kwa hali hii ushenzi mtupu mijinga mikubwa. Mijitu haitokoma maisha na biashara hii
ReplyDeleteMama zao ....wewe mama yako ana nini Tobo ?au ulitokea mkunduni ? Na ndio maan huna heshima kwani uwezi ku comments mpk mpka utukane kiungo cha mama?
Deletedomo zege jux ndio anaweka hizo picha, alipiga mda mrefu mbona!!!!
ReplyDeleteSio Tanzania jamani Masogange aliachiwa South na Jack China msilaumu Tanzania jamani!
ReplyDeletekumbe hii siyo biashara haramu ni halali ngoja watu tuendeleze maana kawa inawahusu wenye nchi kunaubaya hapo hakuna kufugwa mtu kwasasa hatutameza nikubeba tu kwenye rambo 2kikamatwa boc anauza nchi tunatoka mchezo umeisha
ReplyDeleteHahahhaha jack out??? Sasa wale mliokuwa mnasema sema mara nyoko akome,mara wamezid kill them sasa utaukufa ww wenye nchi utawaacha haha chezea ww
ReplyDeleteBEWGE WEWE ACHA UFALALA KUTETEA UPUUZI
Deletesi kweli labda amekamatwa znz lakini si china
ReplyDeleteNi kweli yuko nje but hajawa huru kamili bado kuna mambo wanamalizia.amesema hatorejea now tz anataka apumzike kwa mda china.
ReplyDeleteHajakamatwa china''kakamatwa macao hongkong''sheria zao ni tofauti na chna''kuachiwa inawezekana kama hakuwa na madawa ya kulevya'pengn kama alikuwa na pipi za kawaida za watoto ''vingnevyo lzm afungwe cyo chn ya miaka4
ReplyDelete