Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Akizungumza na Amani Masogange alisema kuwa kuna uvumi unaovumishwa na baadhi ya watu kwamba amekuwa akitoka kimalovee na Davido jambo ambalo halina ukweli wowote.
“Kwanza kabisa Davido ni shemeji yangu lakini pia kuna ‘project’ kubwa ambayo tunaiandaa. Mtakuja kuelewa tu hapo mbeleni na si jambo la kusema ni wapenzi bila kuthibitisha,” alisema Masogange.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA
Pls toa shombo hizi hapa
ReplyDeleteHapa mambo ni Lowassa via Magufuli
Lala salama tuseme ukweli Watanzania wasifanye makosa kuichagua CCM
Lowassa Lowassa chaguo la wengi