Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Hata hivyo, kikosi cha Zimamoto mkoani humo kimefanikiwa kuuzima moto huo usiku wa kuamkia leo ambapo polisi wamesema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.
Kwa mujibu kikosi hicho, mabanda mengine yamesalimika katika ajali hiyo.
Hata hivyo, kikosi hicho kimewataka wananchi kuwa watulivu wakati huu wakisubiri matokeo ya uchaguzi ambayo yanatarajiwa kutolewa muda wowote mkoani humo.
Kwa mujibu wa kituo cha luninga cha AzamTV, polisi mkoani humo wamesema uchaguzi mkoani humo ulifanyika kwa utulivu na hsata moto huo ulipotokea, wananchi wengi walikuwa majumbani mwao.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA