Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu hadi katika Wizara ya Fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa ofisi hizo, hata hivyo alikuta baadhi ya maofisa wakiwa nje ya ofisi zao.
_________
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni BonyezaHAPA
MHESHIMIWA MAGUFULI,HONGRERA.UMETEMBELEA HAZINA,TUAMBIE WANANCHI UMEIKUTAJE HAZINA YETU? NAULIZA HIVVYO KWA SABABU INAELEKEA PESA NI TATIZO NA KAMA SI TATIZO UMEZIKUTA BASI TUNAOMBA TUPATIWE MIKOPO YETU YA ELIMU YA JUU ILI TUANZE MASOMO KWA UHAKIKA.HALI NI MBAYA NA MASOMO YAMEANZA.
Oops huku ni kutisha watu, wakukaya wachukulie watu taratibu lakini kwa ufanisi
ReplyDeleteNa mkwewe kisha anzisha NGO
ReplyDeletena huyu mwanamke mwenyewe suti Nyeusi Nani
ReplyDeleteIsiwe Yule tulikuwa wote jkt na mama salma
Magufuli toa toa mdaku huyu hana Siri
Nenda na Ujenzi kwa ghafla
ReplyDeleteMHESHIMIWA MAGUFULI,HONGRERA.UMETEMBELEA HAZINA,TUAMBIE WANANCHI UMEIKUTAJE HAZINA YETU? NAULIZA HIVVYO KWA SABABU INAELEKEA PESA NI TATIZO NA KAMA SI TATIZO UMEZIKUTA BASI TUNAOMBA TUPATIWE MIKOPO YETU YA ELIMU YA JUU ILI TUANZE MASOMO KWA UHAKIKA.HALI NI MBAYA NA MASOMO YAMEANZA.
ReplyDelete