Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Majuzi uliita waandishi wa habari nyumbani kwako Msoga ukaongea juu ya Taifa stars, TV zinakuonyesha mara nyingi kuliko hata rais.
Juzi ulisahau kumkabidhi JPM kitabu tukakuona sambamba na rais, jana tena umeonekana ukiwa na rais mkihani msiba.
Leo utakuwa uwanja wa taifa sambamba na rais Magufuli tutawaona kwenye TV, dah!
Ombi langu kwa rais wetu mstaafu najua bado una hamu ya kuendelea kuonekana maarufu sawa, lakini muda wako umekwisha mpe nafasi successor wako naye ajulikane.
Kulikuwa hakuna sababu yeyote leo wewe na rais kubanana uwanjani.
Nawasilisha.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA
angepigwa marufuku hata kukanyaga ikulu kwa muda wa miaka 15
ReplyDeleteHahaha
ReplyDeleteMlikuwa hamjui kuwa huyo jamaa ni mshamba fulani nini?
ReplyDeleteAnapenda show off huyo
ReplyDeleteJakaya Na dr kwalipi u Vasvo Dagama
ReplyDeleteMtu mwenyewe ana BA hata master hana shame you
Hata fusoo mkapa kasoma Hana PhD fake Kama jk
hahahahah! inawa-uma hiyo na kuwa-choma kama pasi piipoozzz PWAA
DeleteWanzibari msikubari magufuli awe msuruhishi kwani hata kura za wizi
ReplyDeleteMAGUFULI YUPO 'BIZE' KUPANGA SAFU YAKE YA KAZI, HANA MUDA MCHAFU WAKUPOTEZA, HAO WAZANZIBAR WATAYAMALIZE WENYEWE.....UPO...HAPA KAZI TU
Delete