Kosa Hili Hulifanya Wakina Dada Wengi Wakiwa Faragha na Wenza Wao

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Niende moja kwa moja kwenye mada. Tunajua akina dada wengi hutilia maanani suala la kupendezesha nywele zao.

Hakuna ubaya wa hilo ila tatizo huja pale wanapokuwa ndani ya sita kwa sita wengi wao hu pay attention sana kwenye nywele zao zisivurugike wakati wa game kiasi ya kwamba mwenzio kuona hauko na yeye bali unajali nywele.

Hii ikizidi hupunguza stimu ya wanaume. Akina dada jaribu kuchunguza hili ninalowaeleza utakuta wanaume wengi hawalipendi.

Kama ulipendezesha nywele basi huu ndo wakati wake. Jiachie hata kama zikivurugika utapewa hela utengeneze tena ili mradi uweze kuonyesha presence ya mawazo yako kwa mwenza wako.
_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad