Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Baba yake Lulu ameongea na E-newz na kutufahamisha bado hajapokea mahari ya mwanae na yupo tayari kupokea mahari, hivyo E-news imeamua kuutoa ujumbe huu wa baba Lulu.
Huku wengi wakidhani kuwa ujumbe huo unaweza kumfikia mtu mzima Majey ambaye kwa sasa wapo kwenye mahusiano na Lulu.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA