Breaking News: Milipuko ya Mabomu yatokea uwanja wa ndege Brussels

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Milipuko miwili imetokea katika uwanja wa ndege wa Zaventem mjini Brussels.

Moshi umeonekana ukitanda angani kutoka kwa moja ya majengo katika uwanja huo.

Serikali ya Ubelgiji imethibitisha kwamba kunao watu waliojeruhiwa lakini haijasema idadi.

Watu wameondolewa kutoka kwenye uwanja huo na safari za ndege kutua au kupaa kutoka uwanja huo kukatiz

Vyombo vya habari nchini humo vinaripoti kwamba kuna watu wamejeruhiwa katika ukumbi wa kuhudumia watu wa safari za kuondoka nchini na kwamba milipuko ilitokea karibu na meza ya shirika la ndege la American Airlines.

Haijabainika ni nini chanzo cha milipuko hiyo.

Milipuko hiyo imetokea siku nne tu baada ya kukamatwa kwa mshukiwa mkuu wa mashambulio ya Paris ya mwaka jana ambayo yalisababisha vifo vya watu 130.
_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad