Katika pita pita zangu mitandaoni nimeona clip ya video ya diamond akiwa na familia yake Ujerumani Alipoenda Kufanya Show, nilichopenda ni namna kijana anavyojitahidi kuwa karibu na mama yake, kutoka katika sakafu ya moyo wangu nimefurahishwa, nimeguswa sana na upendo huu wa kijana mwenzangu kwa mama yake! Mungu ambariki sana
_________
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni BonyezaHAPA
Ubarikiwe Daimond, Tuone na kwa baba pia hata kama sio kuambatana nae mnaposafiri lakini tusikie baba kaenda kutibiwa india kama ilivyokuwa kwa mama,kumbuka yote yanapita lakini hazina mbinguni haina mwisho.
Ubarikiwe Daimond,
ReplyDeleteTuone na kwa baba pia hata
kama sio kuambatana nae mnaposafiri
lakini tusikie baba kaenda kutibiwa india kama
ilivyokuwa kwa mama,kumbuka yote yanapita lakini hazina mbinguni
haina mwisho.
ni kweli hongera sana diamond kwa kuipenda familia yako!!!! bravo kijana.mdau hapo juu umesema kweli
ReplyDeletekila mtu anapenda kufanya hivyo ila uwezo ndio tatizo
ReplyDeleteWapo wenye uwezo wapo na mashangingi tuu.lkn Mr Dai upo juu kwa hilo
ReplyDelete