HATIMAYE Mwanamuziki Ray C Afunguka Siku Atakayo Maliza Kutumia Dawa za Methadone...Adai Mungu ni Mwema Kwake

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Ameandika Haya Kupitia Ukurasa wake wa Instagram...

rayc1982 Mungu ni mwema siku zote ni takriban miaka mitatu sasa nameza dawa ambapo mwezi June mwaka huu namaliza dose,sambamba na hilo namshukuru mungu mpka Jana nimeambiwa vijana wote 80 nilio washawishi na ninaoendelea kuwashawishi kuachana na madawa wanaendelea na matibabu hapa Dar es Salaam ukiacha wale mikoa niliotembelea. Kwa mantiki hiyo nashukru taasisi ya ray c foundation Kwa mchango huo..Nimekaa na familia yangu,ndugu na jamaa pamoja na mashabiki wangu wamenishauli kuachana na binadamu wasio penda mafanikio yangu.Wanao Fanya juhudi za kuhakikisha wananiandama kwenye MEDIA bila kuangalia upande wa pili kwamba kachangia nini.Hasahasa Kwa manufaa yao binafsi Mimi kama Ray c namwachia mungu atawaliapa

_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. PIA CHAGUA MABWANA WA KUTEMBEA NAO SIO MATEJA

    ReplyDelete
  2. mbona wiki iliyopita walisema ulizima baada ya kuzidiwa na sembe?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad