Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Tanzania best celebrity couple Diamond na Zari leo nao wameteka mtandao huo bongo kwa hii video.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA
Cha ajabu nini
ReplyDeleteMbona wapo kawaida
Umaarufu unatafutwa kila kona
upumbavu tuu. huu bi kizee bora angempeleka mtoto wake Domo shule. mambo hayo angefanya Wema yangepelekwa mpaka kwa Makonda.
ReplyDeletenani asojua Mapenzi. hivi huu grammaa hajafundwa hata haya haoni? bi Sandra ebu mtafutie kungwi japo kwa cku moja, ni aibu ndo maana Almasi antia kama hana akili nzuri.
ReplyDeleteningekuwa mm ndo Zarina nisinge kubali kufanyiwa hivi, unaaibishwa na Dai, ukiondoka mwenzio anachukua mwingine, unangòng´wa kisogo. leba inakusubiri mama huruma.
ReplyDeleteuchafu ndo wanaoujua. ingekuwa staa mwingine kafanya hivi yangeshafika kwa makonda ila Ajuza na mwanae ni sawa.
ReplyDeletemwanamke mwenye thamani hawekewi hadharani mambo yao ya chumbani yanakuwa ni yao wawili wote hawana adabu na huyu grandmother ukae ukijua mwanaume anaekupenda na kukuheahimu hakuaniki hivo lakini na wewe bibi ongeza namba kama wenzako thamani bibi huna kwanza embu jiangalie mama zima unachezewa na kitoto kidogo unamzaa kwa kukimbia tafuta mwenye umri kama wako usikomaze mtoto wa mwenzako
ReplyDeletemama na mwanae jamani hii si niabu kubwa bibi mzee hujafundwa kwenu mwanamke umekosa thamani ya kitandani leo hadharani Diamondi hakupendi kweli nakwambia ajuza we mwanume anakutoa thamani kiasi unaanikwa kama wale kina changu..... he makubwa haya watoto wako unawafunza nini aibu hio wewe sio wakukaribshwa kwenye family
ReplyDeletemmmm acheni ipe roho kitu inataka bana!!!
ReplyDeleteHadi kero labda awajitambu
ReplyDeleteHuu ni ushamba ulioje,mtatuaharibia watoto wajinga nyie,wap TCRA?
ReplyDeletekweli umaarufu raha,diamond ana sura mbaya lakini anawakaza visu vikali
ReplyDeleteUshamba.com
ReplyDelete