Mcheza Mpira wa Basketi Mtanzania Aishie Marekani Afariki Dunia Baada ya Kutumbukia Mtoni

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

TANZIA: Mtanzania, Samson Charles Bidan (20), aliyekuwa akiishi huko katika jiji la North Plate nchini Marekani, amefariki dunia baada ya kutumbukia mtoni

Alikuwa mchezaji wa mpira wa kikapu akijiandaa na mashindano ya michezo vyuoni (NCAA)
_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad