Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe jana aliuacha rasmi ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake aliyemvisha pete ya uchumba miezi miwili iliyopita, ndoa na tafrija zote zilifanyika Zanzibar.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA
Safi sana hongera kaka!
ReplyDeleteHongera mlipendeza sn
ReplyDelete