Wema amkataa Idriss Mchana kweupeee pee!!!!!
Ashasema hataki kuwa nae sasa nyie endeleeni kupost ohh shem shem sijui kamuoa dada yenu au???? Watabaki kuwa marafiki kama zamani tuuuu...wema so wamchezo mchezooo...
unalakusema hapo mdau ???Habari ndo hiyooo... Tukutane katika uwanja wa comments. ..
Soma Alichoandika Mtandaoni:
waongo hawa kuna kitu kinawafanya wadanganye wameachana. mm nishawastukia.
ReplyDeletejanja yao Wema kanasa ndo maana anaficha na kutangaza wameachana.
ReplyDelete