Waandaaji wa Show ya Chriss Brown Mombasa Washindwa Kuelewana na Vanessa Mdee, Atangaza Kutofanya Show Hiyo

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Mwambaji Vanessa Mdee Ametangaza kuwa hatakuwepo kwenye show kubwa ya Mombasa ambayo awali ilitangazwa atakuwepo sambamba na Chriss Brown, Ali Kiba na Wengine..Sababu alizozitoa ni kuwa waandaaji wa Show hawakutimiza makubaliano yao ya mwanzo.

Ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Instagram:

_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad