Uimbaji na Sauti yake hautofautiani sana na akina Bitchuka na Shaban Dede anzi zile. Na pia hautofautiani sana na wale waliokuwa mapacha wa Tancut Almasi Orchestra akina Kyanga Songa na Kasalooo Kyanga,as a matter of fact hao majamaaa niliowataja uimbaji wao ulikuwa ni bora kabisa na wa kiwango cha juu kabisa kulinganisha na huyo Domo Platinumz. Huwezi kulinganisha sauti za uimbaji kati ya Hassan Rehani Bitchuka, Shaban Dede na Kasalooo Kyanga na huyo Domo. Huyo Domo kaachwa kwa mbaaaaaliiiiiiii kabisaaaaaaaaa
Uimbaji na Sauti yake hautofautiani sana na akina Bitchuka na Shaban Dede anzi zile. Na pia hautofautiani sana na wale waliokuwa mapacha wa Tancut Almasi Orchestra akina Kyanga Songa na Kasalooo Kyanga,as a matter of fact hao majamaaa niliowataja uimbaji wao ulikuwa ni bora kabisa na wa kiwango cha juu kabisa kulinganisha na huyo Domo Platinumz. Huwezi kulinganisha sauti za uimbaji kati ya Hassan Rehani Bitchuka, Shaban Dede na Kasalooo Kyanga na huyo Domo. Huyo Domo kaachwa kwa mbaaaaaliiiiiiii kabisaaaaaaaaa
ReplyDeleteIla hawakuweza kupromote vipaji vyao na kutengeneza mkwanja. Dormant resources
ReplyDeleteKWANI KIPAJI CHA BITCHUKA KILIKUWA KINALINGANA NA CHA SHABANI DEDE? VIPAJI HUTOFAUTIANA, HIVYO HAMNA CHA AJABU. KAZI NZURI SANA DIAMOND, HONGERA SANA.
ReplyDelete