Lebo ya WCB ya DIAMOND Platnumz Yaingia Partnership na Lebo Kubwa ya Music ya Universal Music

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Mwanamuziki Diamond Platnumz ametangaza kwa mara ya kwanza kuwa lebo yake imeingia partnership na lebo kubwa ya Muziki Duniani inayojulikana Kama Universal Music, Lebo hiyo itakuwa inasambaza kazi za Wasanii wote wa WCB na Mkataba wake adai amelipwa Dola Milion Moja...
Diamond Ameongea hayo katika Kipindi cha XXL cha Clouds FM,,,
_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad