BELLE 9 Atoa Wimbo Mpya Akimshirikisha G Nako....Nimekuwekea Hapa Video Uitazame

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Tunaofatilia bongofleva toka kitambo tunamfahamu Belle 9, ni mkali mwingine kutoka Morogoro ambapo leo hii ameshirikiana na G Nako kutuletea burudani mpya iitwayo ‘give it to me’ na ukishamaliza kuitazama hii video usiache kusema chochote kwenye comment



ULIPITWA? LULU AMEACHWA NA MAJAY AWA MKALI BAADA YA KUULIZWA

_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mbayaaaaaaa labda sababu wasanii wote hao wa2 siwapendi

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad