Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Amedai stunt kama hizo zinasaidia kufanya mziki wetu uendelee kuwa gumzo Afrika na kukua zaidi.....
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA
Hacheni kukufuru nyie watoto. Kama kiki zimewaishia semeni niwape
ReplyDeleteMtu ukishazoea nguvu za giza unakuwa mtumwa sana wa shetani,hapo bila shaka mganga wake kamuambia afanye hivyo.
ReplyDeleteMasikini ni wengi jamani, hiyo itakuwa ni kufuru.
ReplyDeleteggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggg
ReplyDeleteuchafuzi wa mazingira. Air pollution ni hatari kwa viumbe hai. Hilo Gari wakipiga kibiriti si uchafuzi wa khali ya hewa, na wengine hapo hapo wanavuta hiyo air pollution, sio jambo la sifa tu, Bali Kuna side effect zake. Mpooo
ReplyDeleteyaani kuna watu wanalala njaa halafu nyie mnataka kuchoma gari hiyo ni kufulu hata wasanii wamerikani huwa hawafanyi hivyo bali kukitokea party huwa wanagawa hela kwa wale wanaohitaji, mkichoma gari moto Mungu atawalaani sana na mziki wenu utashuka na hivyo mkichoma moto gari mbele ya watu kwenye hiyo party mtawauzi sana watu mpaka wataondoka kwa kuona upuuzi kama huo
ReplyDeleteHuyo diamond babaake ana kaa chumba cha kupanga anajishaua bure bora mngesema tuu ni ushirikina huo tumegundua hamna lolote
ReplyDeleteGame limekuwa gumu watu wanatafuta pa kutokea.... Raia hawataki tena maneno maneno wala ujanjaujanja wanataka muziki wa kueleweka ukizingua wanatupa kule hawana habare
ReplyDeleteTatizo hawana jipya,kila kilichokuwa na mwanzo kina mwisho wake,diamond hana jipya la kuimba,ashukuru ana akiba ya mpunga.
ReplyDeleteSiyo simba siyo mamba siyo chui,....aliimba darasa,kuchoma magari ni kukufuru na kuishiwa material.
ReplyDeleteulikuwa uzushi tu mbona hakuchoma gari naona ilikuwa kiki
ReplyDelete