Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Serikali imevipiga marufuku vilabu vya Yanga SC, Azam FC na Simba SC kutumia wachezaji wa kigeni hadi watakapokamilisha taratibu za uhamiaji nchini.
Vilabu hivi husajili wachezaji wengi wa kigeni kutokana na nguvu ya kifedha waliyonayo.
Mpaka sasa klabu ya Simba imeingia katika kashfa ya kuwatumia wachezaji wake wakigeni wasio kuwa na vibali.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA