TV E Inakuja Kubamba..Clouds FM na EATV Kazi Kwenu Kuboresha Vipindi na Quality za Graphics

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Kwa wiki sasa nimekuwa nikiitazama hii Tv stesheni ya TV E.Kiukweli niseme nawapa sifa zifutazo:-
1. Logo yao ni nzuri sana na waliodesign hii logo nawapa credit za kutosha.Ukiangalia logo ya Clouds fm haina mvuto na hata waliodesign hawakuwatendea haki clouds.

2. Graphics zo ni nzuri sana hata muonekano wake ikiwemo mpangilio wa rangi ni mzuri sana, kwa hili nawapongeza sana na nahisi wana timu ya watu makini sana.Clouds graphics zao ni mbovu sana na hata mpangilio wa rangi ni mbovu pia sijawahi kupenda muonekano wa Clouds

Mwisho niseme CLOUDS TV mjipange sana kwasababu soon mtakwenda kupoteza watazamaji kutokana na mpangili mbovu wa vipindi vyenu,muonekano mbaya wa Tv.TV E nawapa pongezi kwa mwanzo huu mzuri na nawatakia muendelezo mzuri ili mtoe changamoto kwa EATV kwani Clouds TV si mshindani kabisa.
_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huna kazi wewe. au umetumwa? aliyekwambia watu wako hapa kulinganisha logo nani? kwanza hata una hela ya kula wewe? katafute kitu cha kukuongezea kipato, acha ulimbukeni. Usilinganishe kifo na usingizi.

    ReplyDelete
  2. Umemaliza?? TUMA SALAMU KWA NDUGU NA MARAFIKI ZAKO........mfyuuuu, hebu tuwekee na ratiba ya vipindi vya hiyo TV mpya

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad