Mambo Yamwendea Kombo Davido..Ampiga Chini Meneja Wake na Kuwachana Sony

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Saa 24 baada ya kutumia Snapchat kuelezea kummwaga meneja wake wa zamani, Kamal Ajiboye na kuwachana Sony Music, Davido ameajiri meneja mpya.

Davido amemteua Ayo George ambaye hana jina kubwa kuwa meneja wake mpya. Awali alisema kuwa atajisimamia mwenyewe na kudai kuwa hana mpango na soko la kimataifa.

Wachambuzi wa Mambo walishamtabiria Davido hayo kwani inasemekana Msanii wa Africa akisign deal na Sony huwa wanapotea katika ramani ya Music kitu ambacho kimemtokea Davido mwaka 2016 Kwa kutofanya vizuri Kimuziki....



_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad