Mtoto wa Ajabu:Soma Ujeuri wa Huyu Mwanafunzi,Ameyajibu Maswali Haya ya Kikubwa Mbele ya Mwalimu Wake

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Dogo wa darasa la tatu anataka apelekwe darasa la 5.. Mwalimu wa darasa akamfikishia habari mwalimu mkuu wakamwita kwa maswali..

.
M/MKUU:
Wewe ndio Samweli?.
.
SAMWELI:
Ndio mimi mwalimu.
.
M/MKUU:
Mwalimu yeyote amuulize swali Samweli.
.
Mwalimu # Vero akaanza na maswali
.
MWALIMU:
Ni vitu gani ambavyo Ng'ombe
anavyo vinne lakini mimi ninavyo viwili?.
.
SAMWELI:
Miguu.
.
MWALIMU:
Unanini ndani ya kaptura yako
lakini mimi sina?.
.
SAMWELI:
Mifuko ya kaptura.
.
MWALIMU:
Ni kitu gani kimezungukwa na manyoya cha mviringo na kina maji mweupe?.
.
M/mkuu akiwa katumbua macho.
.
SAMWELI:
Nazi.
.
M/mkuu akashusha pumzii!!..
.
MWALIMU:
Nikitu gani huingia mwilini kikiwa kikavu na hutoka kimelowa?.
.
M/mkuu jasho jembamba likiwa linamtoka.
.
SAMWELI:
Jojo Au Bigiji.
.
MWALIMU:
ni neno gani huanzia na F na huishia na K pia kama usipopata utatumia mikono yako.
.
SAMWELI:
Fork "uma".
.
MWALIMU:
Ni kitu gani kila mwanaume anacho, nikirefu kwa wanaume pia nikifupu kwa wengine. Mapadri na Ma papa hawakitumii na mwanaume humpa mwanamke wake baada ya kuoana?.
.
M/mkuu akiwa anataka kumsimamisha dogo asijibu Samweli akajibu.
.
SAMWELI:
Jina la Ukoo (surname).
.
MWALIMU:
Ni sehemu gani katika mwili wa Mwanaume haina mifupa, Lakini ina misuli na mistari kama ya maboga?.
.
.M/mkuu akiwa anahaha na maswali magumu.
.
SAMWELI:
Moyo.
Mwalimu Mkuu akadakia. "Huyu kijana apelekwe Sekondar"...
.
.
NAJUA WEWE MASWALI YANGEKUSHINDA MAANA AKILI ZAKO UNAZIJUA MWENYEWE...
_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sasa mbona majibu na maswali mbali mbali!!??

    ReplyDelete
  2. sioni la maana hapo!!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad