Yeleuwii!! Eti Huyu Ndiye Pacha wa Nay wa Mitego,Embu Tazama Hapo Chini Picha Zake kisha Utupe Maoni yako..!!

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
ney-1
Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’.

Baada ya kuibuka msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha wa Harmonize’, Harmorapa, katika mitandao ya kijamii inasambaa picha ikimuonesha pacha wa msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay Wa Mitego’, aliyebandikwa jina la ‘Ney wa Mitego Rapa’.screenshot_2017-01-20-06-17-50-1
Picha ya utani mtandaoni  iliyofananishwa na Ney wa Mitego (kushoto) na (kulia) ni Emmanuel Elibariki ‘Nay Wa Mitego.

Mashabiki wa Ney wa Mitego hawajapendezwa na picha ya pacha wa Ney wa Mitego, japo ni utani mashabiki hao wamedai inamdhalilisha Ney true boy.

Mpaka muda huu Ney wa Mitego hajatoa tamko lolote juu ya picha hiyo ya pacha wake mtandaoni.
_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. WANAFANANA KABISAAAAAAA TOFAUTI NAY ABAJI-SOAPSOAP

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad