Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Lwandamina amesema kikosi chake kiko imara kuwakabili Majimaji licha ya kwamba uwanja siyo mzuri sana.
"Ni mechi ngumu lakini tuna uwezo wa kushinda. Tutacheza soka la kupambana na kujituma zaidi," alisema Lwandamina.
"Hatufahamu sana wao wamejipanga vipi lakini muhimu kwetu ni kuwa na timu nzuri ya ushindani," alisema kocha huyo.
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA