Waziri Njemba atoa agizo hili kwa wasiokuwa na kitambulisho cha Taifa

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dr. Mwigulu Nchemba akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Ruvuma ameagiza kila mtanzania kujiandikisha kupata kitambulisho cha taifa kwakuwa sio jambo la hiari bali ni lazima kwa kila Mtanzania aliyeko ndani ya mipaka ya nchi kutambuliwa.

“Hili zoezi la vitambulisho vya utaifa ni lalazima kwa kila mtanzania aliye nchini, ni kosa kubwa kama wewe ni raia ukaamua kukaidi ikiwa Rais wetu Magufuli ameamua kutoa vitambulisho hivyo bure bila malipo yoyote”–Dr Nchemba

“Hili ni jambo la Nchi na ni kubwa hivyo tusililinganishe na jambo lingine lolote, baada ya mchakato huu kuisha tukamkuta mtu hana kitambulisho maelezo yake yatakuwa ni magumu kueleweka kama kweli yeye ni mtanzania halali” –Dr Nchemba
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad