Ajali: Lori la Mafuta Lawaka Moto na Kuua Wawili Singida

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Ajali: Lori la Mafuta Lawaka Moto na Kuua Wawili Singida
Taarifa kutoka mkoani Singida muda huu ni kwamba lori la mafuta limeanguka na kuwaka moto katika eneo la Mlima Sekenke na watu wawili wanaripotiwa kupoteza maisha.

 Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida Deborah Magiligimba  amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa ni kweli kuna watu wawili wamefariki, lakini bado hawajapata majina yao.
_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad