Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Ndugai ameyasema hayo leo baada ya Waziri mjuu, kassim majaliwa kuwasilisha hoja ya kuharisha bunge la Bajeti lililokuwa likiendelea Jijini Dodoma.
“Mh. waziri Mkuu ametukumbusha habari ya kupima VVU, yeye alipima na mimi nikamuunga mkono nikapimwa na wengine baadhi mkafanya hivyo lakini baadhi waliingia mitini kupima. Ombi letu ni kwamba tunapoenda Majimboni iwe ni moja ya agenda zetu ambazo tutazifikisha kwa wananchi wetu,”amesema Spika Ndugai.
Bunge limehairishwa rasmi leo,Juni 29,2018 hadi tarehe 4 Septemba, 2018 Siku ya Jumanne) saa 3 kamili asubuhi.
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com