Web

Hackers Waivamia Website ya Chuo Kikuu DSM na Kuweka Matangazo ya Ngono


Jana  mchana, mtandao  wa  chuo  kikuu  cha  Dar es salaam  uliingiliwa  na  mahackers  na  kujazwa  matangazo  ya  ngono.....
Matangazo  hayo  machafu  yalikuwa  yamewekwa Chini ya picha ya mkandala kwenye welcoming note ya vice chancelor......
MWONEKANO  WA  JANA MCHANA





Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad