Mtu wangu wa nguvu unaweza kujiuliza huyu shemeji yetu alikuwa na hali gani kipindi kifupi kilichopita wakati Kaka Dada,Lucci Jokate ndiyo headline kila sehemu. Lucci anaongezea,”Unajua ukishakuwa kwenye mapenzi na mtu anayejitambua na anafahamu kazi yako. Basi atafahamu kabisa entertainment inahitaji vitu tofauti ili kufanikisha. So mimi na yeye tuliongea kwamba muda huu tunaitoa kazi ya kaka dada na plan nzima alikuwa anaijua. So hakukuwa na tatizo lolote”
Kama unataka kujua upande wa pili wa Lizzyblazzer, Lucci anatuelezea kuhusu mchumba wake,”Lisa ni director wa kampuni yetu mimi na yeye inaitwa Tsere. Kazi tunayofanya ni creative and marketing, pia anafanya kazi ya HR kwenye hii kampuni”
Oky, so kumaliza mawazo mengi ambayo watu walikuwa nayo kuhusu Jokate na Lucci. Kaka Dada ni kaka na dada kweli, ule ulikuwa wimbo tu.
Tunasubili Jokate na yeye atuwekee wazi shemeji yetu…JUST KIDDIN’
Yanayoendelea twitter…
Ni uamuzi mzuri Lucci.
ReplyDeletedemu ni wa kawaida
ReplyDeleteacha unafki ujaulizwa..kila mmoja na ampendaye
DeleteHatimae ukaamua kuoa
ReplyDeleteNi jambo Jena,nawatskia kila la heri
ReplyDeleteangali zisiwe swagga
ReplyDeletewewe unakaramba kajoketi alafu unatuletea cinema za pete kenye ako kamchaluko.m.nq machimkenda
ReplyDeleteteh teh teh
DeleteHata ufanye nini jokate ushamlamba...... Unalohilo
ReplyDeleteSasa mbona this isn't new, dogo alishamvalisha pete Feza wa Big Brother na bado uchumba akauvunja sembuse na hii tena........KakaDada?
ReplyDeleteJamaa kwa kuvalisha pete hapa mjini kiboko..........NEXT!
ReplyDelete