NGULI wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ ameanza kuugua tena ambapo tangu Sikukuu ya Iddi hadi sasa yupo hoi kitandani.
Akizungumza kwa huzuni na mwandishi wetu, Banza alisema alipomaliza shoo ya Sikukuu ya Iddi na Bendi ya Extra Bongo, alianza kuugua, akaenda Hospitali ya Yemen iliyopo Sinza, Dar ikagundulika ana malaria kali ambapo alipewa dozi ya siku saba.
“Nilipewa dawa za malaria nikameza nikaambiwa baada ya siku saba nitajisikia vizuri lakini mpaka sasa sioni mabadiliko yoyote, bado mwili unaniuma sana, nashinda kitandani kila siku hivyo muziki basi kwa sasa,” alisema Banza na kuongeza:
“Najua mashabiki wangu watanimisi lakini kwa sasa muziki nimepumzika, naomba mashabiki waniombee.”
achomwe sindano za chroloquin kama vidonge havitoshi, apigwe chroloquin 3 kwa siku nne, full dose 12 tuone inakaa vipi?
ReplyDeleteWEWE unajua anaumwa nin au wataka kumuua tu mwenzio???afanye vipimo vyote vya mwili kwanza
DeleteMadkari wengine bwana duuu...unatisha dr wa kugedi
DeleteUkipona Banza punguza umalaya wa k, zitakumaliza ndugu yangu K zipo kila siku angalia afya yako kaka oooohooo
ReplyDeleteKula tano mdau, tena kwa kutongoza tongoza hovyo, jamani wife wake alikufa na niniiiii vileeee? ??
DeleteMakavu live.
Kula tano mdau, tena kwa kutongoza tongoza hovyo, jamani wife wake alikufa na niniiiii vileeee? ??
DeleteMakavu live.
Ukipona Banza punguza umalaya wa k, zitakumaliza ndugu yangu K zipo kila siku angalia afya yako kaka oooohooo
ReplyDeletePole kwa kuumwa in shaa Allah upate nafuu haraka. Jamani ivi usanii bongo haulipi eeh!? Huyu si super star wa bongo? Inakuwaje huko ndani hoi mpaka leo hajuwi nini kinamsumbua! Mmh kazi kweli kweli
ReplyDeleteBijou
Hana kingine mbona Banza ana Ngoma long tym.Poleni sana mliotombwa na Banza jamaa Jigoma lam-maliza
ReplyDelete