MITARO MIPYA YA BARABARA YA BAGAMOYO YAGEUZWA SEHEMU YA KUTUPIA TAKATAKA



Hii Ndio Hali halisi ya Mitaro ambayo haina hata mwaka mmoja toka Itengenezwe katika barabara ya Bagamoyo Maeneo ya Mbezi Samaki ...Wananchi wa Maeneo Hayo Wameigeuza sehemu ya kutupia Takataka hasa za Majumbani....Baada ya Miaka Miwili Hii Mitaro Itakuwaje? Nini Kifanyike?

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ndivyo tulivyo wa tz, tunatupa taka kwenye mitaro afu tunaanza ilaumu serikali.tunataka sheria zenye msumeno sio sheria butu kama zilizopo sasa

    ReplyDelete
  2. ni mitaro na si mitoro!punguza jazba

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad