PRODUCER WA NYIMBO YA DIAMOND YENYE UTATA AKATA MZIZI WA FITINA NA KUZUNGUMZA

Ni baada ya sakata la kuibiana nyimbo lilichokua takribani siku mbili kati ya msanii Diamond Platnum na Dayna Nyange. 
Na producer wa nyimbo hiyo akiwa na Shedy clever wa Burn recods.Team tizniz ikaamua kumtafuta Producer huyo ili kujua ukweli juu ya kitu hiki.
Shedy alisema “Beat hii nilitengeneza mimi kwa idea zangu mwenyewe,alivyokuja Dayna akaupenda ule mdundo,na mimi sikumnyima akafanya demo lakini hakulipia kabisa.Sasa ikapita zaidi ya miezi sita kila nikimuliza vipi anasema bado atakuja kufanya.Kuna siku Diamond akaja studio pale,akataka kusikia midumdo nikacheza midundo mbalimbali ila jamaa akavutiwa sana na ule mdundo ambao Dayna alifanya demo.
Mimi nikampigia Dayna na kumuelezea kwamba diamond kapenda kufanya kazi katika ile beat,Dayna akakubali kabisa,sasa nashangaa yeye kusema diamond kamuibia wakati alikubali kabisa.Mimi sina cha kusema zaidi ila ukweli upo hivyo.

Post a Comment

13 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. sa 2mckilize nani?

    ReplyDelete
  2. kuibiana muibiane nyie, kutuchosha mtuchoshe sie...kendraaaaaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  3. pexando inasikilizwa sikuzote kamahauna mbala kaa chon'jo dada dayna

    ReplyDelete
  4. Mm sipo upande wowote ila ukikisoma alichokisema sheddy kina walakin ndan yake... Swal ambalo najiuliza kama bit ulishampa mtu akaifanyia kaz kwann uiweke tena sokon kwa kumpa mtu mwingine afanyie kaz??? Na yy diamond alikubal vp kununua bit ambayo tayar kuna mtu ameshaifanyia kaz hata kama hajalipia ela??

    ReplyDelete
    Replies
    1. Yap kwanza dayna hyo nyimbo alikuwa amshirikishe daimond na daimond alikuwa ameshaisikilza hyo demo kwahyo alikuwa anaijua hyo beat vzur 2..

      Delete
  5. umtanda umekua wa kikuma kweli wamekua wanatuandikia mambo ya kiseeenge sasa mambo gani mnaturetea hayo?

    ReplyDelete
  6. dayna!!! jaribu kingine!!hili umeshindwaaaa!
    TEAM MAJUNGU

    ReplyDelete
  7. Kabisaa ameshindwaa nyoo kutafuta jina tuu

    ReplyDelete
  8. Hana lolote kampa kisa domo mwenzie! Waangalie kwanza midomo ka chuchunge nyooooooo!

    ReplyDelete
  9. Kwanza tushawachoka na skendo zenu zakutengeneza bwana,

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad