Web

SIRI YAFICHUKA: KISA CHA AUNT EZEKIEL KUPIGWA CHUPA NI PENZI LA JEFF LINALOGOMBANIWA NA WAREMBO


Siri  ya  Aunt Ezekiel  kupigwa  chupa  club  na  kujeruhiwa  mkono wake imefichuka.Habari  za  uhakika  zinadai  kwamba  Aunt  alipigwa  chumba  na  mrembo  wa  kike  katika  harakati  za  kugombea  penzi  la  mwanaume...

 Mwanaume  aliyekuwa  akigombaniwa  ni  Jeff  ambaye  anadaiwa  kuwa  ni boyfriend  wa  Yvonne ( aliyempiga  aunt  chupa )..

Kutokana  na  aibu  hiyo, mastaa  kadhaa  wameongea  na  mpekuzi  kwa  nyakati  tofauti  na  kueleza  masikitiko  yao  dhidi  ya  aunt  Ezekiel  ambaye  ni  mke  wa  mtu... 

Katika  maongezi  hayo, mastaa  hao  walidai  kwamba  mambo  anayofanya  aunt  hayaendani  na  matendo  ya  mke  wa  mtu. Aunt amekuwa  ni mtu wa baa, club  na  madanguro  mengine  ya  usiku, hali  inayotia  shaka  uhai  wa  ndoa  yake. 

" Aunt  kapata mume mwelewa sana  ambaye  kakiheshimu sana  kipaji  chake  kwa  kuto-mbana.

"Cha  ajabu yeye ameanza  kufanya  mambo ya aibu  kwa kuendekeza ngono  nje  ya  ndoa  yake" alisema star mmoja wa kike aliyekataa kuwekwa wazi jina lake ..

Muigizaji mwingine wa kike ambaye hakuwa  tayari  kuchorwa  mtandaoni  alisema:
  
 "Aunt ajiangalie sana.Yeye  ni mke wa mtu kwa  sasa. Kitendo  alichokifanya kimemchafua mpaka ukweni na asipokuwa makini  atampoteza mume wake...

"Yvonne alikuwa anamlinda bwanake, mi  siwezi kumlaumu sana ila nyie wanaume ni watu wabaya sana pia" 

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Safi sana vyone tena angeipigisha kwenye uso ndo na bongo muv ingeishia hapo,umalaya tu na bado uwoya ya kwako iko njian kutwa waume za watu mliolewa ili iwe nini,na wewe mume wa ant pole yako hukuona wanawake had ukaingia mkenge huo.ovyooooooo sana bongo muv na mtatembezewa vichapo tu mkafie mbele na maukimwi yenu.

    ReplyDelete
  2. Umaarufu bila kipato ndio maana mnageuza miili yenu Biashara na huko kuolewa ni zuga tu,Mnakera sana hivi huo Umalaya wenu mnaifundisha nini Jamii ikiwa ndio mnajiita MSANII KIOO CHA JAMII NDIO KWA HUO UCHAFU MNAOFANYA...???MJITAMBUE

    ReplyDelete
  3. aunt sura imemvimba ana mimba kubwa tu lol wapi sunday unatuacha watoto tuliotulia wafata magube gube weka no tukutafute plsssssss

    ReplyDelete
    Replies
    1. Heeee kumbe shost ana mimba?

      Delete
  4. Maisha ya wasanii wa kibongo almost wote ni feki asa iyo bongo movie wanapretend kumiliki vitu vya gharama na pesa wakati hawana na ndio maana yake wanajiingiza katika mambo ya umalaya na karibia wote wanauza mili yao ili kupata pesa na kubakia na status zao za umaarufu na wanatumia iyo bongo movie kujulikana ili wafanye mambo yao binafsi ya kupata kipato cha juu kwasababu wameshakuwa maarufu...Ndugu zangu kabla ya kwenda kuoa hao wanawake wa bongo movie chukueni mda ili muwajue zaidi bila ivyo utadhalilika baadae katka jamii sababu hakuna mtu mwenye pesa ajapitia hao wanawake..Kama mambo anayofanya huyo aunt ezekiel kweli ni heshima ya mke wa mtuu hii na unabahati umeolewa na mume bwege bila ivyo ndoa ungeisikia tuu na nahisi iyo sio ndoa ya kweeli sababu hakuna mwanaume asikie kila siku kashfa za mkewe na tena na ushaidi alafu uongei kitu..jamaa vipi limbwata limekolea nini

    ReplyDelete
  5. mmmmmmmmmmmmmmm mdogo wangu aunt ezekiel bora ufunguke tu juu ya taswira nzima ya maisha ya mumeo huko dubai ili uwe huru kufanya yako na washabiki wako wajue maana we ni staa na unapendwa kwa jinsi unavyoijua kazi yako kuliko kufa na tai shingoni

    ReplyDelete
  6. Uyu malaya tu,mumewe mwenyewe anaonekana mdogo au ndo mambo yetu yale afikishwi kwa kale katoto.bora usingeolewa watu wajue moja.hayo mambo yenu ni tofauti na wake za watu,mjiheshimu.

    ReplyDelete
  7. Nasema sina ndugu wakuweza kunisaidia nikifa leo na kesho maiti yakwangu ni bure.

    ReplyDelete
  8. UMALAYA UMEMKOLEA HAWEZI KUACHA HUYO UKIMWI OTAMZOAZOA

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad