UREMBO:MAC NA IMAN PRODUCTS ZITAKAZO KUJA BONGO SOON NA PETRIDA FASHIONS



Kwa wale wapenzi wa Mac products zote nataraji kuleta mzigo dar mwezi ujao,so kama unatumia na wewe Mac original au Iman na wataka nikuweke kwenye list please niinbox kwa email adres petridafashion@yahoo.com. 

Foundation ya Maji

Nitaleta pia powder ambayo ipo mixed na foundation tayari kwa wale wasiopenda foundation ya liquid.

Eye shadow+Lipsticks zitakuwepo pia 

Na huu ndo muonekano wangu after using mac powder+foundation+shiner yake kwa uso, hujutii maamuzi yako.
Tags

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Duh embu weka picha kabla ya kupaka hvyo vyote maana sura yako sijui km imepakwa hvyo vitu. Binti kimambi amewafundisha biashara eheee kila mtu mac?

    ReplyDelete
    Replies
    1. weeeeee naye chai jaba mtu asifanye biiashara kamuiga huyo mwanamke khaaaa stupido

      Delete
  2. We nawe kwani kimambi peke yake ndo anajua biashara angekuwa anajua biashara si angekuwa milionea,tupshe uko usituchafulie hari ya hewa sie na uyo mtu wako.

    ReplyDelete
  3. embu jaman mtuwekee uyo dada picha yake ambayo hajapaka izo mac sijui,maana kama ndo kweli imembadilisha ivyo basi hata mke wangu nitamnunulia naye apendeze.

    ReplyDelete
  4. hizo product zinauzwaje? i mean price

    ReplyDelete
  5. blog yako inaitwaje mamy?

    ReplyDelete
  6. Blog yake inaitwa petridafashion nazani kwa blog yake anaemail adres waweza wasiliana naye akakupa price

    ReplyDelete
  7. khaa, kwani kimambi ndo mfanyabiashara wa kwanza? acheni roho mbaya jamani khaaa.. hamjui hata kumtia mtu moyo? kazi majungu tuu! Bi dada mungu akutangulie ktk biashara yako

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad