Wema amefunguka kupitia kipindi chake cha In My Shoes kinachorushwa kila jumatano kupitia East African TV ambapo aliulizwa kama kama anaamini ushirikina upon a kama alishawahi kurogwa ambapo alijibu kuwa anaamini ushrikina upo ila haupi nafasi katika maisha yake kwani anamuamini Mungu.
‘Yaah!Nilishawahi kurogwa na naamini ushirikina upo ila siupi nafasi katika maisha yangu namuamini Mungu tu,’alisema Wema
Udaku Specially Blog
Ni mnyeramba huyo,si kosa lake.
ReplyDeleteWanyeramba kwa ushirikina ni noma,wanaatisha.
DeleteMganga wako yupo buguruni bisha nyooo
ReplyDeleteHahahaaaaaa
ReplyDelete