MBOWE "NITAENDELEA KUIONGOZA CHADEMA WANACHAMA WAKIAMUA"

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Chadema endapo kama wanachama wataendelea kumhitaji.

Kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa ndani ya chama chake amesema kamwe chama chake hakizuii watu kutamani uenyekiti lakini akatahadharisha zitumike njia za kidemokrasia na uwazi.Amesema katu Chadema hakitaruhusu watu kutumia njia za kihuni kinyume na Katiba.

Mwenyekiti huyo ambaye ni mhimili mkuu kwa chama chake ameshangaa watu kukimbilia madaraka kwa njia ovu na za kihuni.Amesema kuongoza upinzani si lelemama na wala si wa kukimbiliwa.Amesema kuongoza upinzani ni kukubali kufungwa,kupigwa mabomu na kuzushiwa kila kashfa kila uchao.

Kiongozi huyo amesema kwamba kamwe hawatakubali Chadema kusambaratishwa kwa njia yoyote.

Kuhusu Ukomo wa uongozi amesema Katiba ya Chadema haina kipengele hicho kwa ngazi yoyote na kama mtu anafaa wanachama wataendelea kumchagua bila kujali muda atakaokuwa ametumikia chama.

Source:Nipashe Jumamosi.
Tags

Post a Comment

28 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ww ndio kiongozi na pia mwenyekiti tunayekuhitaji kutuongoza ss wanachadema......tanx u mbowe

    ReplyDelete
    Replies
    1. kwa hilo ccm wamewapiga, maana kule kuna ukomo wa uongozi

      Delete
  2. Mroho , mwizi tu huna lolote

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wewe ni mnafiki wa ccm,mbowe kakuibia nini,si uripoti polisi?

      Delete
    2. hjana lolote kama chama hakina ukomo wa madara so ataendelea kuongoza hata miaka mia si ndio au mpaka atakapoaga dunia kama mugabe aende huko tumeshawaona nyinyi ni waroho wa madaraka 2015 imewakosa mjipange upya 2025 shwain wewe

      Delete
  3. Amechakachua Katiba ya Chadema kwa manufaa yake. Hatukutaki uwe kiongozi wa Chama chetu kwani wewe ni Mwizi, Mbadhirifu, Mroho wa Madaraka, wewe pamoja na Slaa tumewachoka hatuwataki tena.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kama tuhuma zako una ushahidi unaonaje ukiuwakilisha polisi,takukuru au kwa wasenge wenzako wa ccm?

      Delete
    2. na cc tunataka ushahidi wa zito kukihujumu chama,mbona hamjatupa?

      Delete
  4. Chadema imefikiya wakati wake wakuporomoka kama ilivyo poromoka nccr mageuzi

    ReplyDelete
  5. Nyinyi ndio mlioficha mahela ya wanyonge nje ya nchi wezi wakubwa Hamna hata aibu

    ReplyDelete
  6. Kama chama ni cha watanzania Mbowe hatukutaki uendelee ila kama chama ni cha wachaga basi endelea tu na ukitoka wewe mlete mwanao na wajukuu zako pia.Pimbi we!

    ReplyDelete
    Replies
    1. hhhaaahhhh....word!

      Delete
    2. hahahahahahahahahahahahahahahaha well said aende huko na chama chao cha wachaga na wakatoliki

      Delete
  7. Chama cha wachaga,mnalo mwaka huu tumewashtukia narudisha kadi

    ReplyDelete
    Replies
    1. hahahahaha umeona ee na ndio maana hawamtaki, zitto na kwa taarifa yenu zitto akitoka chadema na chama kimekufa, subirini muone shwain nyie mmekwisha

      Delete
    2. Kama huna hoja ni bora ukae kimya,kama mkundu unakuwasha kampe basha wenu mwigullu auchubue.cdm utakufa ww na ukimwi uiache.

      Delete
    3. kwanini isife wakati ipo icu?hata nccr walikuwa misukule kama wewe ila walikuja kusanuka badae san

      Delete
  8. Mbowe inaonekana kabisa wew ni Dikteta hautufai hata kidogo eti hakuna ukomo wa madaraka,kwa kuwa chadema kimeasisiwa na mchaga basi ni taasisi ya wachaga ndio maana hutaki kuachia ngazi,mnapokezana vijiti mpeni lema sasa

    ReplyDelete
  9. Chaga Development Ma.....

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wachagga ni watu wa kazi tu,kila fani wapo imara iwe ni jeshini,udaktari,biashara,uchungaji,kilimo,elimu na hata kwenye siasa,unacho shangaa na kulalama ni nini? Kamwulize mola kwa nini kawafanya wachagga watu wa kazi na wewe akakufanya duwanzi na bongolala?

      Delete
    2. Umesahau kwenye wizi,ukahaba,ubarmaid,kuuza mitumba na uchawii

      Delete
  10. Farasi ww hujitambui,inaonekana umetoka ng'uni huna unachokijua mbulula ww,wachaga wangekuwa kama unavyosema mngeteka nchi.

    ReplyDelete
  11. Hakuna matusi hp mbowe hatukutakiiii kabsaaaaaa haujui tuu tulivyokuchokaa bhanaaa

    ReplyDelete
  12. wachaga shenzi type, chaggas will always be chaggas, watapeli hadi kwenye lugha!!!!

    ReplyDelete
  13. Nenda kaishi kwenye hekalu ulilojijengea Dubai huna jipya au km vp rudia kazi yako ya awali DJ!!

    ReplyDelete
  14. machagaaa siyapendi matpeli kwa kila kitu,, sijui yalitokea wapi!!

    ReplyDelete
  15. Kung'ang'ania madaraka ni aibu brother rekebisheni katiba ukomo wa madaraka ni muhimu.

    ReplyDelete
  16. Chadema amkeni sasa mtabuluzwa na kaskazini hadi lini?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad