PICHA ZA JAMAA ALIYEUWA NA KISHA KUJIUA MWENYEWE KWA RISASI JIJINI DAR LEO ASUBUHI

Mapema leo asubuhi milio ya risasi zaidi ya kumi ilisikika eneo la Ilala Bungoni karibu na baa maarufu ya Wazee (Club ya Wazee), watu watatu wakiripotiwa kufariki kutokana na tukio hilo linaloelezwa kuwa limetokana na wivu wa kimapenzi.

Dereva mmoja wa tax kituo cha Bungoni ambaye alikuwa shuhuda wa kwanza, alisema mapema leo asubuhi alipata mteja aliyehitaji kupelekwa sehemu, ila kabla hawajafika huko walipokuwa wanataka kwenda jamaa ambaye ndiye alikuwa ni muuwaji alimuomba akatishe safari na kumtaka ampeleke sehemu nyingine.

Kwa mujibu wake dereva huyo aliendelea kusimulia, alimpeleka jamaa mpaka aneo la tukio hilo kwenye nyumba iliyopo pembeni mwa Hotel mpya iitwayo MM.

Mara baada ya kufika hapo, jamaa alitoa sh. 5,000 na kumkabidhi dereva ila cha kushangaza ni kitendo cha jamaa huyo kutoa bastola wakati akiwa anaelekea kwenye geti la nyumba, aliendelea kusimulia dereva huyo.

Wakati jamaa anaelekea getini mlango ulifunguliwa na gari aina ya Toyota Surf ilitoka ikiwa na watu wanne ndani, mwanaume mmoja ambaye ndiye aliyekuwa akiendesha gari mama mmoja na wadada wawili.

Jamaa akiwa na bastola alianza kuwashambulia watu waliokuwa ndani ya gari hilo na kumpiga risasi dereva na mdada mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Carol, hii ni kwa mujibu wa dereva huyo na mara baada ya kuona hivyo hivyo ikabidi akimbie.

Vyanzo vingine vinaeleza kuwa katika tukio hilo jamaa pia limpiga risasi ya mgongoni mama wa mwanamke aliyemuua na pia alimpiga msichana mwingine risasi ya mguu.

Mtuhumiwa na dereva aliyekuwa akiendesha gari walifariki palepale huku msichana mmoja akielezwa kufariki akiwa njiani kuelekea hospitali.

Bado haijafahamika moja kwa moja chanzo cha mauwaji hayo licha ya watu wengi ambao nilipata bahati ya kuongea nao wakilihusisha tukio hilo na mambo ya kimapenzi.



Dereva Aliyekuwa Akiendesha Gari
Mwili Ukibebwa Kuingizwa Kwenye Gari

Jamaa Aliyeuwa Kisha Kujiua
Nitaendelea kukupa taarifa uu ya tuko hili kadiri ntakavyokuwa nazipata.....

Post a Comment

33 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. MAJANGA, WANATOA WAPI UJASIRI HUU KAMA UMEIBIWA MKE AU MUME SI USIKE TIME YAKO YA NN KUTAFUTA DHAMBI KUBWA KIASI HIKI

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mdau hayajakukuta we,mapenzi yanauma sana ila all in all RIP wote waliopatwa na mkas

      Delete
    2. mapenzi yanauma lakini duniani huna haki ya kumuhukumu binadamu mwenzako kifo ni mungu pekee, kama ilivyojionyesha kwenye mkasa huu wahusika wamebaki duniani wataendelea na mapenzi yao, kifupi aliekipanga mungu binadamu huwezi kukitenganisha, tujifunze kukubali matokeo hata kama yanaumiza kiasi gani

      Delete
  2. R.I.P
    wote lakin mapenzi noma!

    ReplyDelete
    Replies
    1. mapenz nouma kweli mdau uyo anonymous wa kwanza anahukumu wakati yeye hajamkuta, na aombe mungu yasimkute, mtihani.

      Delete
  3. Dawa ya wachunaji na mabingwa wa kuumiza wenzao na mapenz ndo ishapatikana ....ooh mi nnlikuwa namlia vyake tu hata simpend na nyie mamen ooh nnlitaka nimege tu nsepe...watu wanakuufoo saro tu.....ogopa kuchezea filngc za mtu ambae yy hachezi na za kwako

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kweli kabisaa kibela sio fair km humpendi achana nae muache na hela zake sii unamchuna alafu unamuaacha lazma kwa kwendo huu mtu akiufooo saro.

      Delete
    2. Thanks for the new vocabulary mwizi WA mapenzi dawa Ni KUFOO SARO Tu no discussion

      Delete
    3. sasa hapo faida ikwap we unakufa unawaacha wao ful kubadilishana vikojoleo

      Delete
  4. well said kibela

    ReplyDelete
  5. poleni hii habari ni kama ya ile ya Ufoo

    ReplyDelete
  6. Duuuuuuu mapenzi noma

    ReplyDelete
  7. WAPENZI WANGU WOOTE NLIOKULA HELA ZENU HAPO ZAMANI NAOMBENI MSAMAHA SITARUDIA TENA. NAOMBA MSINIUFOOSARO MWENZENU BADO NAPENDA KUISHI, NAJUA NIMEWAKOSEA SANA LAKINI TUACHE YALOPITA TUGANGE YAJAYO. ASANTENI

    ReplyDelete
  8. Mnaongea usenge tu hamjui chochote.

    ReplyDelete
  9. Jamaaa ni mental case yule

    ReplyDelete
  10. Kufoo salo yes ndicho kilichobaki sasa RIP marehemu

    ReplyDelete
  11. Gea kaongea upupu kumamake asubui hivi clouds mbona wajinga hivi. Wole wako uje kwenye msiba tutakutoa balu mamamae

    ReplyDelete
  12. We only need God intervention,

    ReplyDelete
  13. kwa style hii siku hz wanawake tutakuwa na adabu na hela za wanaume..kiukweli nina uwoga sasa hv dah...sasa na wanawake nao wakiamua na wezi wa waume zao mmh itakuwa kazi..hv mwenzio kakutoa ktk zero then unamkana na gari unampa mtu mwingine aendeshe acheni nyie mapenzi yanauma jamani...R.I.P Munisi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kakutoa wewe ktk zero. Kakuhonga wewe gari. Ana ubavu wakuhonga? Gari sio lake na kamua mtu mwingine. Msiropoki jamani. Hajawai hata kumnunulia pipi X wake. Eti kampangishia nyumba. U pple r realy mad

      Delete
  14. Ana hela gani jambazi lile. Hajawai kumpa hata senti yule dada wawatu. Wivu wakuachwa.

    ReplyDelete
  15. Kampa gari gani. Sio gari lake lile tafuteni story vizuri msiongei upupu ka gea weni. Ana ushuzi wakuhonga gari yule mbwa mkatili. Kamua mdogo mtu hana hata hatia. May he rot in hell. Acheni kuchangia usenge hamjui chochote. Damu za watu zinamsumbua.

    ReplyDelete
  16. Nlikua na nlishujudia huyu jamaani 'mdogo' wa kova pia alikua na hirizi na milion saba

    ReplyDelete
  17. Yataendelea kutokea mambo km haya wanawake wengi sio waaminifu hata km wananyumba zao ,ukitongozwa si ukatae ni lazima ukubalia au uchukue hela za watu,siko kwenye kisa hichi cha dar,nimefanya kazi mashirika mengi zaidi ya nchi 5 za afrika ghana,Nigeria,Tanzania,Malawi ,bondeni ,wanawake na wanaume sio waaminifu watu tubadilike biashara ya kutongoza watoto wa shule na wewe mtoto au mke wa mtu kwa nini ? usifuate kilicho kuleta duniani? umeona uzinzi au ngono ni muhimu sana hata km unaimba kwaya? badilikeni jamani ,haya mambo yakiendelea tutapoteza nguvu kazi kubwa sana ya taifa we have to change now,there so many diseases now days,utakula wanawake wangapi uridhike ? au dunia imekuwa yako mwenyewe? miaka 25,35,40,55,60 bado dhambi inakutafuna si uache uhuni ulee watoto wako au uoe kieleweke?

    ReplyDelete
  18. I know the boy,Munisi.ni fighter WA maisha,japo pi a Ana hasira sana.so tusi assume facts,mpenzi wake ataeleza wat happened.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hatakiwi analazimisha mapenzi

      Delete
    2. sasa hasira zimempeleka motoni na wenzake wamebaki duniani wanaendelea na mapenze yao, aliepanga mungu binadamu huwezi kulipangua

      Delete
  19. Ndio maisha bt mungu si asuman kwan wangekuwa waislam hao ungesikia tuu magaidi magaidi bt mungu yuko

    ReplyDelete
  20. Asumani ndo nn na wewe? Ni athumani.

    ReplyDelete
  21. mpenzi wake hataeleza chochote atakufa na siri hiyo kama ufoo saro.

    ReplyDelete
  22. kauwa hata wasiohusika

    ReplyDelete
  23. jamani ee watanzania tusiige mambo ya nnchi za watu.mambo haya yapo mengi sana afrika kusini watu kuwana kwa ajili ya mapenzi kwa bunduki .mapolice ndio wanaongoza kwa kuuwa wanawake na watu wengine kwa ajili hiyo lazima tuifundishe jamii yetu kwa mtindo ulioanza .baadaye isije ikawa ni fashion.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad