RIDHIWANI KIKWETE ALAANI SIASA ZA CHUKI ZA CHADEMA ZILIZOFANYA ZITTO NA WENZAKE KUVULIWA MADARAKA

Baadhi  ya watu maarufu  nchini akiwemo  mtoto wa Rais Kikwete, Ridhiwan wamezipokea taarifa za kuvuliwa wadhifa wa unaibu Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa Zitto Kabwe kwa mitazamo tofauti.

Zitto alivuliwa uongozi wa Naibu Katibu Mkuu Taifa na Naibu Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa tuhuma za kukisaliti chama hicho.
   Haya  ni maoni  ya  Ridhiwani  Kikwete  aliyoiweka  katika ukurasa  wake  wa  facebook na  twitter kuhusiana  na  sakata  hilo:

Naendelea kujifunza matunda ya Siasa za Chuki na Ukanda zinavyoumiza siasa za Tanzania. Mungu anatuasa kupitia vitabu vitakatifu kuwa ” ili kuepusha balaa dogo kutokea, basi liwe balaa kubwa zaidi ya hilo.”. Imani kuwa aliloandika limetimia… 


Zitto Kabwe pamoja na Dk Kitila Mkumbo watakutana na wahariri na waandishi wa habari  kesho Jumapili  kuzungumzia hatua hiyo
Tags

Post a Comment

14 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hizo ni siasa za kifalme.wanahitaji wao kama wao na sio kwa maslahi ya wananchi zito ni mzaliwa wa kigoma na sio wa kaskazini wale wanahimiza ukabila wala sio siasa.wao Target yao ni kuwadanganya wananchi kuwa wanaweza kumbe ovyooo.wao kwa wao hawaelewani shida ni unafiki ukabila kuhamasisha vurugu na uigwena.chadema sera za vita na ubaguzi ukifuatilia sakata la zito ni kusema kweli tu basi hafai sasa kuna demokrasia gani hapo.cheo cha uwenyekiti ni cha igwena mbowe peke yake na hataki kusikia mtu anagombea.hawa ni wasanii wanadandia fani kwa kukosa ajira sio wanasiasa.waache kuwatapeli wananchi hamna kitu hapo.kilimanjaro oyeeee!

    ReplyDelete
  2. Chadema hiyooo kwisha kazi imeshakufa tena

    ReplyDelete
  3. Kimenuka chadema

    ReplyDelete
  4. Wewe ridhiwani jaribu kuwashawishi hao wajinga hapo juu waliotoa comments na kama sio wajinga basi kuna manufaa wanayapata ya kuingandamiza tanganyika kwa miaka hamsini, shughulikieni serikali yenu iliooza badala ya kushabikia mambo yasiyokuhusu, kama mtu anata kuiadaa ccm mtamwogopa kumfukuza sababu ya dini yake au ukabila? Acheni kuleta chuki za udini na ukabila kwa manufaa yenu mkiwaacha watanganyika kibao wanateseka sana vijijini, yaani nyie nia yenu muachiane madaraka kifalme? Watanganyika wameaamka na kusoma siyo wale wazamani.

    ReplyDelete
  5. nilikua namwonea huruma zito lakini sasa naanza kuamini zito ni ccm maana ccm wamekua.wakali.sana na kutetea zito arudishwe sijawai ona hiii sasa wam hukue wampe urahisi mwakaniii ccm kae kimya kabisa haya hayawahusu ni ya chademaaa mwamxhieni zitto na chadema yake sio kuipigia kelele chadema mchujue nyie basiiii ridhiwani mwe una ngoja ubunge wakubebwa na baba hhahha ccm uozooo mtupu.mlimpandikiza zitto sasa anatolewa uman laumuuu

    ReplyDelete
  6. Chadema ni mihuni.

    ReplyDelete
  7. Nadhan hata wakipata hii nch wachaga CAG atakua si lazma tena.

    ReplyDelete
  8. Mi mwenyewe ni chadema ila unafk cpend kw haya yanayoendelea m2 akipasua uozo ambao hata mtt mdogo anauona mnamwita ni msalit!!! Kwanza mmejaa ukabila na udini na sasa hv ndo limejidhihilisha .

    ReplyDelete
  9. Eeeeh! Mbona kuna uozo mwingi tu' wanaficha! Kama mambo anaoyafanya viti maalum Arusha Ni Aibu kwa hiki chama! Ni Aibu kubwa! Kama kuitwa Mhe Mbunge Ni simple hv' bc!'

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ooh! Nimekupenda mdau! Nitakupataje!

      Delete
  10. kwenye hili mtoto wa dokta msafiri kanena, "Naendelea kujifunza matunda ya Siasa za Chuki na Ukanda zinavyoumiza siasa za Tanzania". bila kujali itikadi za vyama umenena jambo la msingi sana.

    ReplyDelete
  11. PEACE WE NEED...THUS ALL...

    ReplyDelete
  12. chama cha magamba imewauma eehh,kipandikizi kenu kametimuliwaa,,,,
    tanzania 2taendelea kuwa maskin mpaka lin?
    ridhwan jibu ili c maswala ya zito ayakuusu

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad