VENESSA MDEE KUPAMBANA NA NAZIZI ARUSHA TAMASHA LA KUPAMBANA NA RUSHWA TAR 7 DEC

Mkali kutoka Kenya, Naziz anatarajia kuumana vilivyo na Mbongo Venessa Mdee ndani ya jukwaa la kupambana na Rushwa....Wakali hao wanatarajia kuchuana kwa kushusha Mistari katika tamasha la MIMI NI AFRICA NA AFRICA NI MIMI litakalo fanyika Tarehe 7 Mwezi huu wa December katika Viwanja vya General Tyre Pande za Arusha.

Tamasha hilo litaanza Mida ya saa saba , Baadhi ya Wasanii watao pamba onyesho hilo ni Kundi la Weusi , Roma, Chindo, Linah , Fid Q na Stamina...
Kama upo Arusha basi Usikose kwenda ......
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad