Web

BREAKING NEW:AJALI MBAYA YA GARI YATOKEA SINGIDA..WATU 13 WAFARIKI



Habari zilizotufikia sasa hivi kutoka Singida zinasema watu 13 wamefariki dunia baada ya kutokea ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani humo.

Habari zinasema ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Noah na lori ambayo namba zake za usajili hazikupatikana mara moja. Watu 13 waliofariki walikuwa katika Noah iliyokuwa ikitokea Itigi na maiti zao zimehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida. 

Baada ya ajali hiyo, dereva wa lori na msaidizi wake walitokomea kusikojulikana.

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mungu awalaze mahala pema amin

    ReplyDelete
  2. Hiyo noah ilikuwa imebeba watu wote hao? Jamani ajali zinatumaliza

    ReplyDelete
  3. nataka kujua
    dreva mzima?

    ReplyDelete
  4. Nataka jua gari langu lipo salama?

    ReplyDelete
  5. Inna lillah wainna illah rajiun
    poleni mlofiwa wote na majeruhi Mungu awape afya njema

    ReplyDelete
  6. Poleni familia ya marehemu

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad