WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha.
Watangazaji hao walisimamishwa na uongozi wa Clouds baada ya kuchoshwa na tabia yao ya utovu wa nidhamu hivi karibuni.
Kurudishwa ilikuwa Ni lazma mana wangedakwa fasts na redio zngne hayo majembe nayakubali saaana! Babaa joniiie,B12 na Diva your applicable! Well come back
ReplyDeleteDada diva ubunge vip?
ReplyDeleteRuge na B12 ni ndugu, mama yake Shani (B12) na mama yake Ruge ni ndugu wa damu, hao wengine wamshukuru B12 wameponea humo humo
ReplyDeleteVisa mwanzo mwisho!
ReplyDeleteTupeni umbea wa chagabib wa prezoo
ReplyDeleteWatu wengne wanaropoka tu sijui wana uhakika gani kwamba walikua wamepigwa chini
ReplyDeleteHayo ni majembe ya ukweli watutulikuwa tukikilizia tu radio ziko nyingi na wenye wanakubalika.
ReplyDeleteHayo ni majembe ya ukweli watutulikuwa tukisikilizia tu radio ziko nyingi na wenyewe wanakubalika.
ReplyDeleteHayo ni majembe ya ukweli watutulikuwa tukisikilizia tu radio ziko nyingi na wenyewe wanakubalika.
ReplyDeleteMhhh
ReplyDeleteMhhh
ReplyDeleteMhhh
ReplyDeleteClouds ingepaukaaaaaa! Pumbav
ReplyDelete