Amoo Hadji, an 80-year-old Iranian man, has not taken bath for 60 years, according to the city website Bavanat.com.
His skin is scaly, you can barely see his eyes and he smells to high heaven. The reason for it is as simple as that: he has just refused to take a bath for sixty years now.
Hadji leads a fairly primitive life, with his most prized possession being a three-inch steel pipe that he smokes animal dung with.
Living in the village of Dezhgah (city of Farashband in Fars province of Iran), he seems to blend in with his surroundings.
HUWEZI AMINI HUYU JAMAA AJAOGA WALA KUGUSA MAJI KWA MIAKA 60
13
January 11, 2014
UN ikae ili kumaliza tofauti kati yake na maji.,loading...........
ReplyDeleteHahahaaaaa haki wewe ni mwehu.
DeleteAcheni uongo,mkiandika hajaoga 60yrs hiyo sawa,mnajua maana kugusa lakini? Mnamaanisha hata kunywa maji hanywi ama? Kama ni hivyo huyu ni zaidi ya ngamia aise.
ReplyDeleteKeep it up my frend
ReplyDeleteCku akija kuoga ana died moja kwa moja mamaee .
ReplyDeleteAtakuwa ana chawa kibao hapo alipo duh
ReplyDeleteSasa hii blog nayo too much! Ina maana hata mvua hua hazinyeshi huko! Utafiti mwingine ni wakipumbafu sana.
ReplyDeleteMCHAFU KOGE! HUYU BABU ATAKUA ANANUKA UBABE UBABE!
ReplyDeleteMm mwenyewe cjaoga miaka 24
ReplyDeleteKula lazimaaaaa kuoga hiariiiiiiii.................
ReplyDeleteAtakuwa si mzima
ReplyDeleteakitaka koga 2 intakiwa arowekwe kene maji ya sabun kama wik hvi! akitoka hapo duh! mwembamba!
ReplyDeleteMnayo ongea nikweli lakini haya wahusu shiti nyie../
ReplyDelete