MWALIMU GANI MKALI AMBAE ULISHAWAHI KUKUTANA NAE KATIKA MAISHA YA SHULE?
21Udaku SpecialJanuary 20, 2014
Katika almost shule zote hua hawakosekani wale walimu wa kali balaa ambaye ukiingia kwenye 18 zake ni lazima ueleze. kwa mfano mimi shule ya msingi lugalo niliposoma kulikua na Mwl.Chavala,Mwl.Kinyogori,Mwl. Bango,Mwl.Getwa,Mwl.Buchwa aisee hawa walimu sitawasahau kamwe. maticha,walikua wana mwaga stiki kama hawana akili nzuri aisee, then makongo kulikua na Kisarika, Yeyeye,Malongori na Afande Miraji (thou hakua mwalimu). ebana kuna siku tulipata msala asembo baada ya kuimba vibaya wimbo wa taifa, huwezi amini marehemu Afande Miraji single-handedly alizungusha stiki shule nzima kwanzia form 1-6 pale asembo af akarudia raundi mbili. kuna jamaa kesho yake akaomba uhamisho baada ya kukamatwa tena na afande miraji hakwenda zamu akala stiki 15 za adabu. vp mwl gani ushakutana nae hadi leo huwezi msahau? By donlucchese
Mwl ngonyani aka lete mwanzi, Mwl Judith kayombo na mbawala C.F.Primary Luhimba.Bernad aka mayunju,Sanga na Simwaba St benedict sec.Mpelembwa na Mazengo Tosa boyz
Mwl Ndosi wa Muhimbili primary,huyo alikuwa balaa,wanafunzi walosoma mitaa ya town mnampata na kwa wale mlosoma Kisutu girls,mnamkumbuka Missana na Manyama? Loh! Ni ngumu kusahau zile stick
mwl Monyo,mwl Nyakizee,mwl Lukindo.shule ya msingi SUA hyo
ReplyDeleteMwl Pyuza na mwl Mwatenga songea girls we acha tu.
ReplyDeleteMwalim lyoka jaman chadulu
ReplyDeleteMwl jelome,mwl balsidia,mwl munisi.msanga shule ya msingi.kidato mwl mazengo,mwl cosmas,mwl mwenda. chamwi sec.sita wasahau walimu hawa.
ReplyDeleteHeeeeeee hujanichapia mwanangu hivyoo aiseeee, mamaeeeee
ReplyDeleteMwl ngonyani aka lete mwanzi, Mwl Judith kayombo na mbawala C.F.Primary Luhimba.Bernad aka mayunju,Sanga na Simwaba St benedict sec.Mpelembwa na Mazengo Tosa boyz
ReplyDeleteMwalimu Umande Highlands High School - Iringa yaani huyo sio mchezo waliosoma hapo wanamjua
ReplyDeleteMWL SWILA MBY SEC. SCHOOL, MPAKA AKANIFUNDSHA KUPIIA UKUTANI
ReplyDeleteSanga aka kingongoks @ upanga primary n nenei.dah walitixha
ReplyDeleteMwl Pascal, mrienyi pr school
ReplyDeletemwalimu Daniel,mwal Baraka,mwal Angetile na mwal Tisoko sm Mtoni walikuwa noma na mwalimu mbolembole aka MJ sm Temeke
ReplyDeletesandali noma sana. alinikata stick nikiwa nipo hospital ndanda. kuma sana huyo jamaa. ila tulimtimua!
ReplyDeleteMwl. Mazara Jitegemee secondary duhh
ReplyDeletewatu wanaosoma hii blogu wameenda shule za ajabu sana, mlijuaje kutumia internet?
ReplyDeleteKumalamamaako mtaje mwl aliyetisha
DeleteKwa mamaako kuma we...
Deletemlimbwende
ReplyDeleteLobilo-Umbwe boyz,huyo ni noma enzi zake na alikua english zero huyo.
ReplyDeleteKONSO nae alituuzia katizi japo sometimez tulimuibia.
Mwl Ndosi wa Muhimbili primary,huyo alikuwa balaa,wanafunzi walosoma mitaa ya town mnampata na kwa wale mlosoma Kisutu girls,mnamkumbuka Missana na Manyama? Loh! Ni ngumu kusahau zile stick
ReplyDeleteIgenge na titus mzee wa lenz mbonyeo lake prmry!sec james lingwa na joseph martin aka literature
ReplyDeletemwalim masawe "baba" a.k.a kiibega miaka ya 90 kule shule ya msingi TANDALE @ ABEID LY 93
ReplyDelete