LAZIMA AVUTE BANGI KABLA YA KUFANYA MAPENZI: USHAURI
22
March 21, 2014
Imekua tabia siku hizi yani kabla hatujaanza kufanya lolte lazima avute bangi kwanza , napia anipe na mimi nivute, huwa nafanya tu hivyo kwa sababu nampenda ila sasa imekuwa too much, mpaka inanitesa siku nyingine siwezi hata kuamka kichwa kinauma kutwa nzima. Naombeni ushauri.. wadau
Tags
Hahahaha wee chalaaa angu niajee wewe! Kula k2 upate stimuuuuu. Hiyo ndo GANJA kudadadekiiii.
ReplyDeleteBinadamu kutoka moshi ni jambo la kawaida au sio
DeleteKula mjani acha uzembe
ReplyDeleteMikundu yenu
ReplyDeleteachana nae kwani bangi k2 gani na inaongeza nn mwilini haina faida yoyote wanaume wapo wengi dada angalia pengine ucjidhuru la sivyo utalijua jiji bila bangi hatombi mh majanga
ReplyDeleteSiku si nyingi utaambiwa uvute unga... Wanaume wa teeele achana nae. Mtaishia maskini kuendekeza ulev na kushindwa kufanya kaz za maendeleo. Tafuta penginewe...hapo hakuna maisha...huenda mtungi haupand mpaka apate moshi....tehe tehe
ReplyDeleteVp! Akishakuvutisha bange hakufili mkundu?
ReplyDeleteKula ganja mtoto
ReplyDeletehapo ndo mnaponichanganya,yani unafanya mambo ya ajabu,angalia kilicho mkuta ray c baadae utavuta unga,achana nae huyo
ReplyDeleteHuyk siyo mwanaune wa maisha yaki achana naye
ReplyDeleteDada wanaume tupo,wengi achana nae,tafuta mwingine.atakuua huyo.
ReplyDeleteRaaaahaaaaaa jaman utamuuuuu! Wavutaj mpo?
ReplyDeletemh!
ReplyDeleteUnashanga nin
ReplyDeleteUsiwe mpumbavu lofa wewe!Huvifahamu vitu vya kuiga?Unawaaibisha wanawake wenzako!
ReplyDeleteyaan wewe lazima hata darasani ulikuwa unakuwa wa mwisho unajua kabisa bangi ni haramu na ni mbaya for any ways lakini unavuta eti kwa kuwa unampenda stupid kabisa ndio maana umeshindwa hata kuamua mwenyewe mpaka unaanika ujinga huo kwa jamii..yaan wewe lazima anakuingilia kinyume na maumbile, na mwanaume ampendae mwanamke wake hawezi mfanyia vitu kama hivo kesho atachanganya unga kwenye bangi na utavuta alafu sasa utakuja ona shughuli yake...nyambaf kabisa wewe...
ReplyDeleteNyie wote mnao shabikia bangi mnatombwa na kufirwa mikunduni mwenu.
ReplyDeleteTatizo hapo huyo mwenzio imeshamuadhiri kisaikologia, sasa ucpokua makini ikikutawala na ww pia ndo kwisha kazi, la kuvunda halina ubani
ReplyDeleteMkundu nawewe
ReplyDeleteCommunication is the KEY, open up na mwambie ukweli unachojiskia.
ReplyDeleteMPE SM AVUTE BADALA YA BHANGI
ReplyDeleteOmba number Chalamila akuelexe ilivyo marimu kwasababu ya kupenda, alifanya vitu kama kikaragosi kama hivyo unavyo fanya ujuwe anatumia madawa ya kulevya utakapozama katika bangi ndipo cocani itatkuja mwisho atakuja kuku acha solemba amuka mwanamgu huyo hana mbale wala nyuma maisha yake ni ya wakati huo natumaini usingependa uhusisna wa aina hiyo you want someone you love you to day and tomorrow, wake up'
ReplyDelete