PENZI LA MR BLUE LAENDELEA KUMTESA NAJ.."TOKA NIACHANE NAE SIJAPATA MTU KAMA MR BLUE"
7
March 16, 2014
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya ambaye huwa anaishi na kufanya Kazi nchini Uingereza Naj amefunguka kuwa Tangu aachane Mr Blue zaidi ya Mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyopita hajawahi kukutana na Mwanaume na wala hajawahi kumpenda mwanaume yeyote, Naj amefunguka hivi karibuni kabla hajaelekea U.K akaendelea kunitiririkia kuwa alikua na Mr Blue kwa miaka mitano na ikaishia kwa yeye kukimbiwa na Blue akamkana hadharani na kuanzisha mahusiano na mwanadada mwingine hali iliyomhuzunisha na kujutia muda wake, Naj akamalizia kwa kuniuliza Je angeutumia muda huo kwa kupiga kazi si angekua mbali sana? kwa hiyo sasa hivi anacho angalia ni kazi tu kwa kwenda mbele, yuko singoooooooooooooo
Tags
Kwa kweli anapoint hapo , hata kama anadanganya kuhusu kunanihino. 5 yrs ni mingi kumpa mtu uroda mwisho wa cku he or she just walk away bila sababu ya msingi. Kwa vile vitu hivi vinatokea pande zote mbili mm cna ushauri wowote zaidi ya kuwaambia watu wasome alama za nyakati, wrighting on the wall or read btwn the line usibwage nanga kirahisi kwa umpendae. Mtu anaecheat ni rahisi mno kumjua KAMA wewe hucheat. Ni inbox nikupe data.
ReplyDeletenaj ana matatizo ya akili.atakuwaanapiga punyeto
ReplyDeleteanajisafisha tu, wizi mtupu.
kwa sasa njoo kwangu na mimi nipige hata kimoja juu juu
ReplyDeleteMr blue handsome.
ReplyDeleteSaivi naj ni mchepuko wa blue!
ReplyDeleteNae malaya tu huyo anajishaua hapa,eti cjapata km mr bluu,nyooooko lione kwanza,UK anafata nn km sio kupeleka hyo tgo ikaliwe na wenyewe....naj usenge hatutaki kahaba ww
ReplyDeleteNJOO KWANGU NIKUBANDUE HIYO 0713
ReplyDelete