Gossip Cop Soudy Brown leo anazo taarifa zinazomhusu dada wa kaka wawili ambao mara kadhaa imetoka taarifa kuwa hawapatani, sasa leo kupitia dada huyu anadai kumbe hao jamaa ni ndugu.
Clouds FM inapatikana Mbeya kupitia 87.8
Bonyeza play kusikiliza You heard yenyewe
UWEZI AMINI KUMBE DIAMOND NA ALLY KIBA NI NDUGU WA DAMU
18
March 10, 2014
Tags
Queen ndio mchepuko wa Ally K , akuna cha udugu. Ila Diamond kwele na Queen wame share baba. Alafu watu wa kigoma wote hujifanyaga ni ndugu! Utawaskia wenyewe, eweye ni mtoto wa Shabani Jabu? Weye ni ndugu yetu wallahi! Hahahahha
ReplyDeleteWenyewe wanaitana yeweyewe ulo wamuhila??!
DeleteYewe yewe and wamuhila awo ni waha. Ila wamanyema wao ni eweye uko mtoto wa Sadi? Ejamani tuko wanduguuu sisi.lol
DeleteKIDAWA
ReplyDeleteTenaa wale wanaoshea backyard ndio usiseme utasikia uu ni ndugu yetu ee dada na hasa akiwa na kijiuwezo ndio kabisaaaa. Chezea KGM hehehehee utasikia ndiye huyu Kidawa wa biti kambaa ameolewa na mwarabu, mwingine utasikia eeeh namjua si ni ndugu yetu wa barabara ya naneee!!.
LOL
Nimecheka mpaka basi! Ukiolewa na mwenye uwezo tu kosa , Kigoma yote watakuwa ndugu zako. Kila mmanyema ni ndugu wa Iddi Simba !lol. Alafu kwa ubishi na kupenda sifa wanaongoza. Hahahaa
DeleteMliocomment hapo juu wote kuma zenu.
ReplyDeleteHata wewe kuma tu .
Deletena wewe pia yako!
ReplyDeletenawewe kumalako mhawewe imekugusa ww nikwelimimwenyewe nawajuakwakuunga undugumnajiweza .
ReplyDeleteKuishi na wakigoma yataka moyo ..sasa darin ndugu na ally wakati wanatombana
ReplyDeleteUmeonaeee? Eti baba yao kazaa na mama yake mdogo Ally K, wakati Queen chakula cha Kiba! Ila Queen huwa ananiudhi kujifanya mwanaume, sikia sauti yake kwenye hayo mahojiano. Ovyooo
Deletehaaaaaaaaa mnasifia 2 naniliu za mamazenu vibungo kweli nyie mtapata laana shauri yenu
ReplyDeleteNyege mbaya.
ReplyDeleteTatizo liko wapi hapo, mbona kuwa ndugu ni jambo la kawaida sana au mnazani diamond au ally kiba sio watu wanaopaswa kuwa na ndugu, ??? Wekeni mada zenye maana ,,,, bmpf
ReplyDeletekuma wote hapo juu
ReplyDeleteEweye we si mtoto wa Rajabu Sudi! Weye ni ndugu yangu..lol. Umejifunzia wapi hayo matusii! Eeh mtoto muogope Mungu ! Hahaha
DeleteHii kali yallah mbavu zangu jamani mtaniua kwa cheko, mlisema peni na Diamond ni ndugu wakalambana hadi wakakinahiana sasa leo ally kiba na diamond kesho tena nani? na asili ya kigoma wote ndugu ila usiku wanalambana wenyewe, hasa hawa wanaokuja dar bila mpangilia maalum tabu tupu wanaishi kwa kuuza mma utasikia Zabibu ni mtoto wa shangazi yangu ila yeye kanizalia kaka, ni jirani yetu kaolewa na mjomba. kazi kwelikweli.
ReplyDeleteLol
Delete