BREAKING NEWS:MAJAMBAZI WAVAMIA BENKI YA BARCLAYS TAWI LA KINONDONI

BREAKING NEWS: Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la Kinondoni na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja.
Tukio hilo limetokea muda huu saa nne , katika tawi la benki hiyo iliyopo Kinondoni eneo la Bakwata likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola.

Post a Comment

16 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Michongo tu hiyo yan wez watatu wavamie bank

    ReplyDelete
  2. Tunakwenda wapi? Police kazi yao kukamata pikpiki

    ReplyDelete
  3. hapa kuna kitu nyuma ya pazia

    ReplyDelete
  4. michongo ya kikubwa hiyo

    ReplyDelete
  5. polis kazi yenu ni kuwasumbua dereva bodaboda 2.

    ReplyDelete
  6. polic mnaacha kulinda mali kubwa nyie mnaenda kuwasumbua dereva bodaboda.

    ReplyDelete
  7. Pasaka hii wanatafuta hela ya sembe na tembele. Kama hawajatoa roho ya mtu pouwa,ma-soldier wawatafute maana wao wanakuja nyuma ya tukio.

    ReplyDelete
  8. Polisi polisi manina zenu...wao ndo waeke roho zao rehani wafe waache familia zao zateseka..stupid.polis ulimsomesha wewe..nawe kawe polisi ulinde..fuc u

    ReplyDelete
    Replies
    1. kumamaye alafu maraia bhna cjui yakoje kila kinachotokea police,police mnawaponda mnapo patwa na shda mnamkumbuka tulizen mikundo hyo!!

      Delete
  9. Jambaziiii I Lu v u ghaflaa nitafutee mtoto mchunaa nikupe massage

    ReplyDelete
  10. Hahaaaaaaa hapo aulizwe manager haiwekezan vibaka wa3 wavamie benk na bastola ikiwa polisi wanalinda na smg nje

    ReplyDelete
  11. Hahahaaaaa kwa bastora wakat polis wanalinda na smg uuuuuuuuwi

    ReplyDelete
  12. Mh hata taarifa ya habari hamkuona hakuna askari wa smg bwana nawenyewe walikuwa watatu na machine gun

    ReplyDelete
  13. Dah..!maandalizi ya pasaka hayo..!!

    ReplyDelete
  14. Acha muvi iendelee

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad