HATIMAYE AZAM FC WACHUKUA UBINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA SIMBA NA YANGA TUPA KULE

Ni baada ya kuilaza Mbeya City bao 2-1 katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya hivi punde na kufikisha jumla ya pointi 59 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote! Hivyo Azam Ndio Mabingwa wapya wa Ligi kuu ya Tanzania 2014

Top Post Ad

Below Post Ad